Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Marachi, Busia wapokea msaada wa chakula

  • | KBC Video
    134 views
    Duration: 1:17
    Zaidi ya familia elfu-3, kutoka mtaa wa Marachi mjini Busia zimepokea msaada wa vyakula na bidhaa nyingine za kujikimu kutoka kwa ofisi ya Katibu Mkuu Mwandamizi, Arthur Osiya. Msaada huo ilijumuisha mifuko 300 ya mchele na mifuko 200 ya maharagwe. Shehena hiyo inatarajiwa kuwasaidia mayatima na wajane katika eneo hilo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive