Skip to main content
Skip to main content

Wasichana wahamasishwa kuhusu masuala tete

  • | KBC Video
    108 views
    Duration: 2:11
    Juhudi za kuwalinda na kuwawezesha wasichana katika eneo la Pwani zinaendelea huku zaidi ya wasichana 500 kutoka kaunti tano wakikusanyika katika Kaunti ya Mombasa kabla ya kampeni ya siku 16 ya utetezi dhidi ya dhulma za kijinsia duniani. Wasichana hao waliokusanyika kwa mkutano wa 7 kuhusu masuala ya mtoto wa kike, walifanya majadiliano ya wazi kuhusu dhulma za kijinsia, afya ya uzazi pamoja na afya ya akili. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive