Skip to main content
Skip to main content

Utafiti wahimiza mataifa yanayostawi kuwekeza kwenye elimu

  • | KBC Video
    68 views
    Duration: 4:44
    Utathmini wa kimataifa umefichua uwepo wa mianya katika elimu ya msingi miongoni mwa watoto katika kaunti 12, ikiwemo Kenya. Matokeo ya utathmini huo, yalitolewa leo jijini Nairobi wakati wa kikao kilichoandaliwa na shirika la People’s Action for Learning yaani PAL Network. Aaron Marie alihudhuria kikao hicho na kutuandalia taarifa ifuatayo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive