Skip to main content
Skip to main content

Serikali yasisitiza umuhimu wa kuzalisha rasilimali zake

  • | KBC Video
    98 views
    Duration: 1:52
    Serikali imekariri haja ya kuwekeza katika kilimo, marekebisho ya ushuru, ubunifu na teknolojia ili kuzalisha rasilmali zake na kukoma kutegemea zaidi usaidizi wa kigeni. Akizungumza jijini Nairobi wakati wa kongamano la kwanza na uzinduzi wa mpango wa miaka kumi wa kongamano kuhusu utafiti wa kiuchumi barani Afrika katibu wa mipango ya kiuchumi Dr Boniface Makokha, pia alitoa wito wa kujumuisha utafiti katika mipango y ustawi. Kongamano hilo linanuiwa kuimarisha uwezo wa utafiti huru na kabambe kuhusu usimamizi wa kiuchumi barani Afrika. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive