Skip to main content
Skip to main content

Mashirika ya serikali yatakiwa kuwasilisha taarifa sahihi za kifedha

  • | KBC Video
    154 views
    Duration: 1:24
    Mkuu wa Utumishi wa Umma, Felix Koskei, amezitaka wizara, idara na mashirika ya serikali kuwasilisha taarifa sahihi za fedha kwa wakati, akisema kuwa ukaguzi wa mapema ni muhimu katika kuboresha utoaji huduma na kuhakikisha Bunge linapitisha ripoti za ukaguzi kwa wakati unaohitajika. Koskei amehimiza taasisi hizo kuzingatia makataa ya kuwasilisha taarifa zao akionya kwamba watakaochelewesha au kutoaji taarifa zenye kasoro hawatasazwa. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive