Skip to main content
Skip to main content

Ajuza aachwa bila makazi baada ya kubomolewa nyumba

  • | KBC Video
    323 views
    Duration: 3:29
    Eneo la Kirigiti, kijiji cha Waironjo, katika kaunti ndogo ya Kiambu, ajuza mmoja anakesha kwenye kibaridi baada ya kufurushwa kutoka shambani mwake. Haya yanafuatia madai kuwa wapwa wa marehemu mume wake walianza kumtishia, wakimtaka aondoke kwenye ardhi hiyo. Mengi zaidi na mwanahabari wetu Aaron Marie. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive