Skip to main content
Skip to main content

Biashara ya Baharini: Mataifa ya Afrika yahimizwa kutafuta mbinu za kujitegemea

  • | KBC Video
    57 views
    Duration: 2:37
    Kenya na nchi nyingine 18 za Afrika Mashariki, Kusini na Kaskazini zimeongeza juhudi za kuanzisha kampuni ya pamoja ya usafiri wa meli kama sehemu ya mikakati mipana ya kulinda uchumi wao dhidi ya misukosuko ya kimataifa, changamoto za usambazaji bidhaa na ongezeko la bei ya bidhaa. Wawakilishi wa nchi hizi, wanaokutana jijini wanatathmini ripoti za awali za upekuzi yakinifu kuhusu kuanzishwa kwa kampuni ya usafiri wa meli pamoja na itifaki ya kikanda ya mizigo ya baharini inayolenga kuimarisha udhibiti wa Afrika juu ya biashara ya baharini. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive