Skip to main content
Skip to main content

Dira ya Kaunti | Jamii za wafugaji zimeihimiza serikali kuharakisha shughuli za usajili wa ardhi

  • | KBC Video
    152 views
    Duration: 3:06
    Jamii za wafugaji zimeihimiza serikali kuharakisha shughuli za usajili wa ardhi ili kulinda haki za umiliki na riziki zao. Jamii hiyo imesema kuwa masuala ya ardhi ambayo hayajatatuliwa, tatizo la mabadiliko ya tabianchi, na mikataba isiyofaa ya uwekezaji, vinaendelea kutishia maisha yao. Taarifa kamili ni katika Mseto wa kaunti. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive