Skip to main content
Skip to main content

Gavana wa Mandera aomba msaada kutoka kwa serikali kufuatia makali ya ukame

  • | KBC Video
    200 views
    Duration: 1:30
    Gavana wa Kaunti ya Mandera, Mohamed Adan Khalif, ameonya kwamba ukame unaoikumba kaunti hiyo umefikia kiwango cha janga. Kulingana na Gavana huyo, wakazi sasa wanategemea visima visvyo na maji, huku mabwawa ya maji yakiwa yamekauka, na kuwaacha maelfu ya familia zikiwa na hitaji kubwa la msaada. Gavana huyo ametoa wito wa haraka kwa Serikali ya Kitaifa na mashirika ya kibinadamu kuingilia kati kabla hali hiyo haijakithiri. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive