Skip to main content
Skip to main content

Gavana wa Nyamira Amos Nyaribo ang'atuliwa

  • | KBC Video
    152 views
    Duration: 3:31
    Gavana wa kaunti ya Nyamira Amos Nyaribo, ameng'atuliwa. Zaidi ya Wawakilishi wadi 23 kati ya 31 ambao waliohudhuria kikao cha bunge la kaunti hiyo leo, walipiga kura ya kumngatua gavana huyo. Hoja hiyo iliwasilishwa na mwakilishi wadi wa Bonyamatuta Julius Matwere. Nyaribo anashtumiwa kwa matumizi mabaya ya afisi na ukiukaji wa kanuni miongoni mwa shutma nyingine. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive