Skip to main content
Skip to main content

Kalonzo: Upinzani utafuatilia chaguzi ndogo kwa makini

  • | KBC Video
    150 views
    Duration: 3:51
    Tume huru ya uchaguzi na mipaka, IEBC imesisitiza kwamba chaguzi ndogo za siku ya Alhamisi wiki hii zitakuwa huru, za haki na zenye uadilifu. Haya yanawadia huku mirengo yote husika ikielekezana vidole vya lawama kuhusu madai ya utoaji hongo na njama za kuiba kura wakati wa chaguzi hizo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive