Skip to main content
Skip to main content

Kaunti ya Kisumu yazindua mwongozo kuhusu ugavi wa rasilimali katika mwaka huu wa kifedha

  • | KBC Video
    121 views
    Duration: 1:31
    Kaunti ya Kisumu imezindua kielelezo cha takwimu kitakachotoa mwongozo kuhusu ugavi wa rasilimali katika mwaka huu wa kifedha. Naibu Gavana wa kaunti ya Kisumu, Dkt. Mathews Owili, anasema hatua hiyo ni sehemu ya mpango mahsusi wa kuendeleza ukuaji uliojikita kwenye takwimu. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive