Skip to main content
Skip to main content

Kindiki akita kambi Mbeere Kaskazini kupigia debe mwaniaji wa chama cha UDA

  • | KBC Video
    247 views
    Duration: 1:34
    Naibu Rais Prof. Kithure Kindiki na waziri wa utumishi wa umma Geoffrey Ruku waliendelea kumkabili kisiasa aliyekuwa naibu Rais Rigathi Gachagua huku chama cha UDA kikiimarisha kampeni zake katika maeneo ya Mbeere Kaskazini kaunti ya Embu. Kampeni hizo pia zilihacha katika kaunti ya Baringo, maeneo ya Banissa, Kasipul, Magarini, Malava, Ugunja na wadi 17. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive