Skip to main content
Skip to main content

Mradi wa kilimo wa Kandeki, Kirinyaga wazinduliwa

  • | KBC Video
    167 views
    Duration: 2:29
    Waziri wa Maji na Unyunyiziaji maji mashamba, Eric Mugaa, amezindua Mradi wa kilimo wa Kandeki katika Kaunti Ndogo ya Kirinyaga Mashariki, hatua muhimu inayolenga kuwezesha wakulima kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, kuongeza akiba ya chakula na kuziongezea kipato familia katika eneo hilo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive