Skip to main content
Skip to main content

Omtata apinga kituo cha kitaifa cha kujumlisha kura

  • | KBC Video
    278 views
    Duration: 3:53
    MIZANI YA HAKI Seneta wa kaunti ya Busia Okiya Omtatah amewasilisha kesi mahakamani kupinga mamlaka ya tume huru ya uchaguzi na mipaka ya kukagua, kubatilisha au kuhesabu upya matokeo ya uchaguzi katika kituo cha kitaifa cha kuhesabu kura. Omtatah alisema kifungu cha 39 cha sheria ya uchaguzi , ambacho kiliratibisha kuzinduilwa kwa kitio cha kitaifa cha kukagua na kuhesabu kura kinakiuka katiba na kutoa fursa ya kuibua mchanganyo au kuhujumiwa kwa kura. Kwenye kesi hiyo, mwanasheria mkuu pia alikosolewa kwa kukosa kuishauri serikali kuhusu uhalali huo kuambatana na katiba. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive