Skip to main content
Skip to main content

Phoebe Asiyo akumbukwa kwa kupigania haki za wasiojiweza

  • | KBC Video
    121 views
    Duration: 3:54
    Miito kwa wanawake kuchukua hatua katika uongozi wa taifa hili ilitolewa wakati wa sherehe ya kumkumbuka Phoebe Muga Asiyo. Sherehe hiyo ya ukumbusho iliyoandaliwa katika chuo kikuu cha Nairobi iliwavutia wanawake viongozi, marafiki na jamaa wakimkumbuka Asiyo kama kiongozi mashuhuri aliyejitolea kupigania haki za wasiojiweza katika jamii. Asiyo aliyefariki mwezi Julai mwaka 2025, anakumbukwa kwa mchango wake katika utumishi wa umma akiwa mwanamke wa kwanza nchini kuwa msimamizi mwandamizi wa magereza na vilevile mbunge wa Karachuonyo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive