Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto ahimiza mataifa ya Afrika kutafuta mbinu za kujitegemea

  • | KBC Video
    165 views
    Duration: 1:19
    Rais William Ruto amehimiza washirika wa maendeleo barani afrika kuunga mkono ukuaji wa viwanda badala ya kuendeleza utamaduni wa utegemezi. Akihutubia mkutano wa saba wa Muungano wa Afrika na Jumuiya ya Ulaya huko Luanda, Angola, leo, rais alizihimiza Nchi za Afrika na washirika wao kujitenga na uhusiano wa kuchimba rasilimali na badala yake kukumbatia uzalishaji. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive