Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto ahudhuria sherehe ya mahafali ya chuo kikuu cha kitaifa cha Ulinzi nchini

  • | KBC Video
    147 views
    Duration: 4:25
    Serikali imetangaza mipango ya kuongeza mgao wa hazina ya kitaifa ya utafiti kama mbinu ya kuimarisha utoaji uwezo kupitia ukuzaji wa ujuzi, kuongeza maarifa na kupiga jeki ubunifu na uvumbuzi. Rais William Ruto amesema hatua hiyo itaongeza mgao wa bajeti wa utafiti wa taifa hili hadi shilingi trilioni moja katika kipindi cha mwongo mmoja ujao, na kuviwezesha vyuo vikuu kuwa mstari wa mbele katika uvumbuzi na ustawi wa kiteknolojia. Rais aliyasema hayo wakati wa sherehe ya tatu ya mahafali ya chuo kikuu cha kitaifa cha Ulinzi nchini. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive