Skip to main content
Skip to main content

Tawi la KUPPET Migori lapinga kubadilishwa kwa kituo cha uchaguzi wa chama

  • | KBC Video
    76 views
    Duration: 2:19
    Baadhi ya wanachama wa Chama cha Walimu wa Shule za Upili na Vyuo (KUPPET) katika Kaunti ya Migori wameutaka uongozi wa chama hicho, wakiongozwa na Katibu Mkuu, Akelo Misori, kutupilia mbali uamuzi wa kubadili eneo la upigaji kura kwa uchaguzi wa mwaka ujao. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive