Skip to main content
Skip to main content

Tishio la uhalifu wa kimtandao laongezeka

  • | KBC Video
    59 views
    Duration: 2:46
    Katibu wa usalama wa taifa dakta Raymond Omollo ameonya kwamba serikali inakabiliwa na ongezeko la tishio la uhalifu wa kimtandao, hali ambayo imeweka Kenya kuwa miongoni mwa mataifa ya Afrika ambayo yanapoteza zaidi ya dola bilioni-4 kila mwaka kutokana na uhalifu wa kimtandao. Akiongea katika kaunti ya Nairobi leo wakati wa kufunguliwa kwa kikao cha tatu cha Afrika kuhusu uhalifu wa kimtandao na kielektroniki, dakta Omollo alitoa wito wa ushirikiano dhabiti wa kimataifa na ushirikishaji kamili wa vijana katika kudumisha usalama mitandaoni. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive