Skip to main content
Skip to main content

Ukaguzi wa maiti ya Jirongo wathibitisha jeraha la ghafla la kifua

  • | KBC Video
    169 views
    Duration: 1:28
    Marehemu Cyrus Jirongo alifariki kutokana na majeraha yaliyotokana na ajali ya kifuani na tumboni pamoja na uti wa mgongo. Haya ni kwa mujibu wa matokeo ya uchunguzi wa maiti yake uliofanywa na Dkt Joseph Ndungu ambaye ni daktari wa familia. Matokeo hayo pia yalionyesha kuwa, mifupa ya miguu yote miwili ilikuwa imevunjika. Ini lake pia liliathirika , mishipa ya damu ilivunjika na uti wa mgongo uliharibika. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive