Skip to main content
Skip to main content

Wafadhili wahimizwa kukadiria upya uamuzi wa kusitisha misaada ya kifedha

  • | KBC Video
    67 views
    Duration: 2:05
    Wataalamu kutoka shirika la IGAD wametoa wito kwa washirika wa kimaendeleo kuchunguza upya kuhusu uamuzi wao wa kusitisha misaada ya kifedha, ambayo ilikuwa ukikidhi mahitaji ya kibinadamu. Wataalamu hao wanasema hatua hiyo haijasababisha kupunguzwa kwa bajeti katika sekta muhimu pekee, bali pia imesababisha vifo vya watu. Wataalamu hao waliokuwa wakizungumza wakati wa mkutano wa utathmini ulioandaliwa jijini Nairobi kuhusu azimio la Nairobi, waliwahimiza wanachama wake kuwekeza katika mikakati ya muda mrefu ambayo itakayodumisha maendeleo yao ya kijamii na kiuchumi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive