- 68,019 viewsDuration: 2:47Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa kivita mjini The Hague ICC imetakiwa kuchunguza madai ya mauaji ya watu wengi wakati wa msako mkali wa maandamano wakati wa uchaguzi nchini Tanzania mwezi uliopita. Lakini mwandishi wa BBC @frankmavula anaangazia viongozi watano maarufu ambao waliwahi kufikishwa katika mahakama hiyo - - #bbcswahili #tanzania #siasa #icc #mahakama #uchaguzimkuu2025