Skip to main content
Skip to main content

Uhaba wa magari na kupanda kwa nauli waathiri wasafiri Nairobi wakati wa sikukuu

  • | Citizen TV
    9,318 views
    Duration: 2:47
    Uhaba wa magari ya usafiri wa umma unashuhudiwa jijini Nairobi, huku wakazi wengi wakikosa namna ya kusafiri kuelekea vijijini kwa sherehe za sikukuu ya krismasi na mwaka mpya. Aidha wasafiri waliobahatika kupata magari wanalalamikia kupanda kwa nauli.