Skip to main content
Skip to main content

Azimio la ODM: Viongozi wa chama waahidi kumsaidia Ruto kukamilisha muhula

  • | Citizen TV
    5,107 views
    Duration: 2:43
    Rais William Ruto amewataka viongozi wa ODM kukiimarisha chama hicho na kuweka kando tofauti zao ili kuhakikisha kinafaidi zaidi matunda yaserikali. Kwenye hafla kaunti ya migori, viongozi wa ODM nao wameapa kuendelea kusalia serikalini na kumuunga mkono rais william ruto kukamilisha muhula wake.