Mtaalamu wa kutengeneza mapambo athari kwenye filamu na video
Jafari Athuman ni mtalamu wa kutengeneza mapambo athari nchini Tanzania kazi ambayo alijifunza kupitia mitandao ya kijamii na amekuwa akifanya vizuri tangu mwaka wa 2020 kiasi cha kushinda tuzo kadhaa ikiwemo tuzo ya msanii bora wa mapambo athari Tanzania mwaka 2023.
Jafar hutumia wastani wa dakika 20 mpaka saa moja na nusu kutengeneza Jeraha au kidonda kulingana na ukubwa wake.
Gharama za uandaaji wake huanzia dola za Kimarekani ishirini mpaka dola 500 kwa pambo kubwa zaidi ambalo kwake ni mwili wa binadamu uliooza kabisa
🎥 & ✍: @eagansalla_gifted_sounds
#bbcswahili #tanzania #sanaa
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
19 May 2024
- One company was deregistered for having a name too similar to another existing entity.
19 May 2024
- Some of the items include 17 bales of second-hand clothes, a wooden boat, 18,200 kilograms of sugar, motorcycles, and baby clothes.
19 May 2024
- Magera revealed that he applied to renew his passport on January 27, in Washington DC.
19 May 2024
- According to data from K-Note, a non-governmental organisation, Mai Mahiu, Longonot, Naivasha, and Kikopey towns are suffering as a result of the large number of truck drivers seeking services there.
19 May 2024
- The Pharmacy and Poisons Board has arrested suspects behind an illegal medicine distribution syndicate operating without licenses in Kajiado County.
19 May 2024
- The Law Society of Kenya has objected the planned deployment of 1000 police officers to troubled Caribbean island of Haiti.
19 May 2024
- The insurgent, Anywari Al Iraq, a Ugandan, was captured in the jungles of eastern Democratic Republic of Congo where the rebel group Allied Democratic Forces is based, the military, Uganda People's Defence Forces, said in a statement.
19 May 2024
- The medicines, intended for public use had allegedly been diverted for commercial sale in private chemists
19 May 2024
- The disease can lead to chronic inflammation of the organs, which can be fatal
19 May 2024
- One company was deregistered for having a name too similar to another existing entity.
19 May 2024
- Reading Time: 2 minutes Deputy President Rigathi Gachagua has surfaced in public after a week of cons**cuous silence in the country, marking his first […]
19 May 2024
- Deputy President Rigathi Gachagua on Sunday made his first public appearance amid rumours of a split within the ruling Kenya Kwanza coalition.
19 May 2024
- The study by Kemri has found that nearly one in 10 home had extremely high concentration levels