Trump na Biden wanafursa katika sera ya bhangi uchaguzi mkuu
Bhangi ni suala nadra la makubaliano katika Amerika iliyogawanyika kisiasa, huku ukusanyaji maoni ukionyesha kwamba asilimia 88 ya Wamarekani wanaunga mkono walau kwa kiasi fulani kuhalalisha bhangi.
Lakini watetezi wa bhangi wanasema hakuna mgombea hata mmoja wa juu wa urais anatumia mitazamo inayobadilika.
Takriban robo tatu ya Wamarekani wanaishi katika majimbo ambako bhangi ni halali kutumiwa kwa ajili ya matibabu. Nusu ya idadi ya watu wanaishi katika maeneo ambako bBhangi inaruhusiwa kwa starehe.
Lakini Bhangi bado inaendelea kutizamwa kuwa si halali kwa mujibu wa sheria ya serikali kuu, ambako imewekwa pamoja na heroine na LSD kama dawa isiyo ya matumizi ya matibabu yanayokubalika kwa hivi sasa na kuna uwezekano mkubwa ikatumiwa vibaya.
Idadi kubwa ya wapiga kura wa Marekani ambao wanadhani kwamba ni vyema mabadiliko yafanyike kwa bhangi ni fursa muafaka kwa wagombea urais Joe Biden na Donald Trump, hasa miongoni mwa wapiga kura vijana, kwa mujibu ….. . … Scotty Smart, ambaye ni mratibu wa jumuiya katika kundi la kiraia la New Georgia Project.
Scotty Smart, New Georgia Project anaeleza: “Watu wengi hawaelewi sera. Watu wengi hawafahamu jinsi sera zinavyoathiri maisha ya kila siku. Nadhani banghi ni suala ambalo linachochea na kuwasisimua vijana wadogo kulipa mtizamo.”
Caroline Phillips, National Cannabis Festival amesema: “Kwa wote hao, jambo moja ambalo wanafana ni kwamba rekodi yao juu ya bhangi imekuwa haiendani na inaongezeka. Tumesikia ahadi kutoka kwa tawala zote mbili, hakuna hata moja
ambaye amejitokeza wazi wazi.”
#bhangi #marekani #siasa #wamarekani #wagombea #urais #uchaguzi #voa #voaswahili #dunianileo #donaldtrump #joebiden
19 May 2024
- One company was deregistered for having a name too similar to another existing entity.
19 May 2024
- Some of the items include 17 bales of second-hand clothes, a wooden boat, 18,200 kilograms of sugar, motorcycles, and baby clothes.
19 May 2024
- Magera revealed that he applied to renew his passport on January 27, in Washington DC.
19 May 2024
- According to data from K-Note, a non-governmental organisation, Mai Mahiu, Longonot, Naivasha, and Kikopey towns are suffering as a result of the large number of truck drivers seeking services there.
19 May 2024
- The Pharmacy and Poisons Board has arrested suspects behind an illegal medicine distribution syndicate operating without licenses in Kajiado County.
19 May 2024
- The Law Society of Kenya has objected the planned deployment of 1000 police officers to troubled Caribbean island of Haiti.
19 May 2024
- The insurgent, Anywari Al Iraq, a Ugandan, was captured in the jungles of eastern Democratic Republic of Congo where the rebel group Allied Democratic Forces is based, the military, Uganda People's Defence Forces, said in a statement.
19 May 2024
- The medicines, intended for public use had allegedly been diverted for commercial sale in private chemists
19 May 2024
- The disease can lead to chronic inflammation of the organs, which can be fatal
19 May 2024
- One company was deregistered for having a name too similar to another existing entity.
19 May 2024
- Reading Time: 2 minutes Deputy President Rigathi Gachagua has surfaced in public after a week of cons**cuous silence in the country, marking his first […]
19 May 2024
- Deputy President Rigathi Gachagua on Sunday made his first public appearance amid rumours of a split within the ruling Kenya Kwanza coalition.
19 May 2024
- The study by Kemri has found that nearly one in 10 home had extremely high concentration levels