Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Tinderet waitaka serikali imtafute mgombea wa kiti cha ubunge cha eneo hilo aliyetoweka

  • | Citizen TV
    76 views
    Kwa siku ya saba mfululizo, wakazi wa eneo bunge la Tinderet kaunti ya Nandi, wamekuwa wakiandamana wakitaka serikali imtafute mgombea wa kiti cha ubunge cha eneo hilo aliyetoweka .