Skip to main content
Skip to main content

Raila Odinga azikwa kando ya babake huko Bondo

  • | KBC Video
    146 views
    Duration: 3:28
    Aliyekuwa waziri mkuu marehemu Raila Odinga na kiongozi wa chama cha ODM amezikwa.Kiongozi huo wa chama cha ODM amezikwa karibu na kabuti la babake huko Kang'o ka Jaramogi Bondo, kaunti ya Siaya kwenye mazishi yaliyojawa na huzuni yaliyohudhuriwa na Rais Willian Ruto ,mtangulizi wake rais mstaafu Uhuru kenyatta na maafisa wakuu serikalini .Aliyekuwa Rais wa Nigeria Olesegun Obasanjo pia alihudhuria mazishi hayo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive