Skip to main content
Skip to main content

Polisi wanachunguza mauaji ya mume na mkewe Rongai

  • | Citizen TV
    11,610 views
    Duration: 3:27
    Maafisa wa polisi katika kaunti ya Nakuru wameanzisha uchunguzi kubaini wahusika katika mauaji tatanishi ya mzee wa miaka 90 Joseph Kihiti Ndegwa , na mkewe Betrose Wanjiku wa miaka miaka 63. Miili ya wawili hao ilipatikana katika chumba chao katika kijiji cha Muthiga Salgaa, Rongai