Skip to main content
Skip to main content

Shughuli ya uokoaji wa waathriwa wa maporomoko yaendelea

  • | Citizen TV
    2,167 views
    Duration: 1:00
    Operesheni ya uokoaji imeingia siku ya nne katika Kaunti ya Elgeyo Marakwet huku timu za mashirika mbalimbali zikiendelea kuokoa waathiriwa na kutoa misaada ya dharura kufuatia maporomoko ya ardhi yaliyosababisha maafa katika maeneo ya Bonde la Kerio wiki iliyopita.