Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya kaunti ya Laikipia yatakiwa kuajiri wahudumu wa afya zaidi

  • | Citizen TV
    359 views
    Duration: 1:45
    Muungano wa wahudumu wa afya kwa jamii umeirai serikali ya kaunti ya laikipia kuwaajiri wahudumu zaidi ukisema kwamba walioko wanakabiliwa na kibarua kigumu cha kuwahudumia watu kutoka laikipia na pia kaunti jirani za Meru na Nyeri.