Skip to main content
Skip to main content

Hali Tete Kambini Murang'a: Mipasuko mikubwa ya ardhi yasheheni

  • | KBC Video
    177 views
    Duration: 3:02
    Familia 21 kutoka kijiji cha Musoso huko Kangema , kaunti ya Muranga, zilizohamishiwa kambi moja ya muda wanaishi kwa wasiwasi baada ya shamba la mababu wao kuathiriwa na nyufa kubwa. Familia hizo ambazo zimeishi katika kambi hiyo ya muda zilizopewa na kanisa la ACK Kiairathe kwa muda wa zaidi ya mwaka mmoja zimetoa wito kwa serikali izitafutie ardhi salama ili ziweze kujenga nyumba na kuanza upya maisha. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive