Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Migori wanufaika na huduma za matibabu

  • | KBC Video
    16 views
    Duration: 1:48
    wakazi Zaidi ya elfu moja wa Kaunti ya Migori wamefaidika na huduma za matibabu bila malipo kwa hisani ya Serikali ya Kaunti. Wakati wa shughuli hiyo, wagonjwa walipata huduma mbalimbali ikiwemo uchunguzi wa magonjwa kama saratani, kifua kikuu, kisukari, virusi vya UKIMWI huku pia ikishirikisha utoaji damu. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive