Skip to main content
Skip to main content

Jamii za wafugaji zaafikiana kuhusu matumizi ya lishe na maji

  • | KBC Video
    20 views
    Duration: 2:02
    Makubaliano ya kihistoria yameafikiwa baina ya jamii za Rendille, Samburu na Borana kuhusu matumizi ya malisho na maji ya mto Ewaso Ng’iro. Hatua hii inafuatia kiangazi ambacho kimewafanya wafugaji kuhamia eneo la Kom ambako kaunti za Isiolo, Samburu na Marsabit hukutana. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive