Zaidi ya wanariadha 300 na wadau wa michezo wa bonde la ufa kaskazini walijumuika katika kijiji cha sironoi, chesumei kaunti ya nandi kwenye hafla ya kukaribishwa nyumbani kwa naibu mwenyekiti wa kamati ya kitaifa ya olimpiki nchini aliyechaguliwa miezi mitatu iliyopita.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya