Skip to main content
Skip to main content

Huduma za matibabu zarejea kwenye hospitali za umma Kiambu baada ya mgomo kusitishwa

  • | KBC Video
    89 views
    Duration: 2:18
    Hali ya kawaida imerejea kwenye hospitali za umma katika Kaunti ya Kiambu baada ya madaktari kurejea kazini, kufuatia kusitishwa kwa mgomo wao wa miezi mitano. Uchunguzi uliofanywa na KBC Channel One katika hospitali ya matibabu maalum ya Kaunti ya Kiambu ulibaini kuwa wagonjwa katika idara mbalimbali, ikiwa ni pamoja na ile ya kushughulikia wanawake wajawazito, wanahudumiwa na madaktari. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive