Skip to main content
Skip to main content

Katibu wa idara ya unyunyiziaji maji azindua mradi Kajiado Kusini

  • | Citizen TV
    500 views
    Duration: 2:01
    Katibu wa idara ya unyunyizaji maji mashamba, Ephantus Kimotho, ameuzindua mradi wa maji wa thamani ya shilingi milioni 253 ambao utatumia maji kutoka chemchemi za Olgulului, eneo la Amboseli.