Skip to main content
Skip to main content

Machifu waliotekwa nyara Mandera kutuzwa

  • | KBC Video
    161 views
    Duration: 3:14
    Serikali itawatunuku tuzo za rais machifu watano waliotekwa nyara huko Mandera wakiwa kazini. Akiongea huko Mandera wakati wa mazungumzo ya ushirikishaji umma kwenye masuala ya usalama katika kaunti, almaarufu Jukwaa la usalama, Kipchumba Murkomen aliwakosoa wakoaji wa serikali kwa kudai awali kwamba serikali ilishauriana na magaidi wa Al-Shabaab wakati machifu watano walitekwa nyara huko Mandera mwezi Februari, na kuachiliwa huru mwezi Aprili mwaka huu. Murkomen alisema serikali inatambua kujitolea na uzalendo wa maafisa hao wa utawala waliohatarisha maisha yao ili kulilinda taifa hili. Giverson Maina anaarifu Zaidi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive