Skip to main content
Skip to main content

Mgomo wa wafanyakazi wa Posta waingia siku ya tatu

  • | KBC Video
    121 views
    Duration: 1:46
    Mgomo wa wafanyakazi wa shirika la Posta umeingia siku ya tatu, ukidumaza huduma za utumaji barua na usafirishaji vifurushi katika vituo vingi vya Huduma kote nchini. Wafanyakazi hao wanadai malipo ya mishahara yao ya miezi sita na kuwasilishwa kwa matozo yao kwa taasisi husika. Mamia ya wafanyakazi hao waliandamana jijini Nairobi kutoka eneo la City Square hadi makao makuu ya shirika la Posta, wakiimba na kubeba mabango wakitaka kulipwa mishahara yao. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive