Skip to main content
Skip to main content

Ogamba: Uhaba wa fedha watatiza usimamizi wa mitihani ya kitaifa inayoendelea

  • | KBC Video
    130 views
    Duration: 2:52
    Wizara ya Elimu imesema inakabiliwa na nakisi ya ufadhili ya shilingi bilioni 3.7 ili kusimamia ipasavyo mitihani ya kitaifa inayoendelea. Haya yalibainishwa na waziri wa elimu, Julius Ogamba, alipofika mbele ya kamati ya elimu ya bunge la taifa kufafanua kuhusu maandalizi ya mitihani hiyo ya kitaifa. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive