Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto awasili Marekani kwa kongamano la 80 la baraza kuu la Umoja wa Mataifa

  • | KBC Video
    138 views
    Duration: 1:27
    Rais William Ruto yuko jijini New York, kwa kongamano la 80 la baraza kuu la Umoja wa Mataifa. Kwenye mkutano huo wa viongozi wa mataifa mbali mbali duniani, Rais Ruto atasisitiza kujitolea kwa taifa hili kukuza uhusiano na mataifa mengine , kutetea mageuzi ya mfumo wa kimataifa wa kifedha , na kushinikiza kuwepo kwa usawa kwenye ufadhili wa maendeleo katika mataifa yanayostawi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive