Skip to main content
Skip to main content

Ruto: Hii barabara ya kutoka Nakuru kuelekea Nairobi tunapanua, badala ya lane mbili tunaweka lane 6

  • | KBC Video
    372 views
    Duration: 1:55
    Ruto : Msongamano wa magari umesumbua sana katika barabara ya kutoka Nakuru kuelekea Nairobi. Hii barabara tunapanua, badala ya lane mbili tunaweka lane 6, na mimi nakuja kuanzisha huo mredi mwezi ujao, November.