Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya Kirinyaga yarejesha ardhi iliyokuwa imenyakuliwa

  • | Citizen TV
    172 views
    Duration: 1:21
    Serikali ya Kaunti ya Kirinyaga imefanikiwa kurejesha umiliki wa zaidi ya ekari 800 za ardhi ya umma zenye thamani ya takriban shilingi bilioni moja ambazo zilikuwa zimetwaliwa na watu binafsi.