Skip to main content
Skip to main content

Upasuaji wa maiti ya mwanafunzi wa chuo kikuu Faitha Kemunto waonesha aliuawwa kwa kunyongwa

  • | Citizen TV
    2,604 views
    Duration: 2:14
    Ripoti ya upasuaji wa mwili wa mwanafunzi wa chuo kikuu Faith Kemunto aliyepatikana ameuwawa na kuzikwa kule Nyamira, imethibitisha kwamba msichana huyo mwenye umri wa miaka 20 aliuliwa kwa kunyongwa.