Skip to main content
Skip to main content

Vincent Chemitei kupeperusha bendera ya UDA Baringo

  • | KBC Video
    44 views
    Duration: 3:33
    Vincent Chemitei atawakilisha chama cha UDA katika uchaguzi mdogo wa useneta Baringo ulioratibiwa kuandaliwa tarehe 27 mwezi Novemba mwaka huu, baada ya kushinda kwenye kura ya mchujo ilioandaliwa leo. Inadaiwa kuwa Gideon Moi wa chama cha KANU pia anapania kuwania wadhifa huo. Wakati huohuo, mgombea wa ubunge wa eneo bunge la Malava, Rhayan Malulu Injendi, amedai kuwa kura za mchujo za chama cha UDA hazikuwa huru wala za haki. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive