- 812 viewsDuration: 3:53Viongozi katika kaunti ya Samburu pamoja na wakazi wamelalamikia kujikokota Kwa ujenzi wa mabomba ya kusambaza maji kutoka bwawa la Yamo Hadi mjini Maralal. Wakazi katika mji wa Maralal na viunga vyake wamesalia na dhdiki Tele ya kukata KIU ya maji,hii ni licha ya ujenzi wa bwawa la Yamo kukamilika.