Skip to main content
Skip to main content

Wakenya watakiwa kuwakataa viongozi wafisadi

  • | KBC Video
    86 views
    Duration: 4:26
    Wagombea urais David Maraga na Reuben Kigame wamewataka Wakenya kuwakataa wanasiasa wala rushwa na badala yake kuwakumbatia viongozi wenye maono kwa taifa hili. Wakiwahuubia waombolezaji kwenye hafla ya mazishi huko Makueni, Maraga alisema taifa lina uwezo mkubwa wa maendeleo, lakini Wakenya lazima wachague viongozi sahihi ili kufanikisha mageuzi hayo. Wakati huohuo, Chama cha Jubilee, tawi la Kisii limetangaza kumuunga mkono aliyekuwa Waziri wa Usalama wa taifa Dkt. Fred Matiang’i katika azma yake ya kuwania urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2027. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #KBCchannel1 #Kenya #News