- 671 viewsMakamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, Jumatano amekubali kushindwa katika uchaguzi wa urais, akimpigia simu Rais wa zamani Donald Trump, kumpongeza kwa ushindi wake na kuwaambia wafuasi wake kwamba si wakati wa kumaliza vita vya kutetea maono ya kimaendeleo kwa nchi hiyo. “Ni sawa kusikia huzuni na kukata tamaa,” aliuambia umati wa watu katika Chuo Kikuu cha Howard, hapa Washington, chuo alicho somea. Mgombea huyo wa chama cha Demokrat amesema mapambano yataendelea katika kura, mahakamani na majukwaa ya umma. Trump ameshinda uchaguzi wa Jumanne na kuwa rais wa 47 wa nchi hiyo huku akitwaa takriban majimbo matano kati ya saba muhimu ya ushindani na alikuwa akiongoza katika mengine mawili wakati hesabu za kura zikiendelea. Trump na makamu wake JD Vance, wataingia madarakani Januari 20 kwa muhula wa miaka minne. #rais #donaldtrump #kamalaharris #wafuasi #voaelections #voaelections2024
Kamala ampongeza Trump, aeleza kanuni ya msingi ya demokrasia
- 21 Apr 2025 - Britain said on Sunday two of its fighter jets had intercepted Russian aircraft over the Baltic Sea close to NATO alliance airspace in separate incidents on Tuesday and Thursday.
- 21 Apr 2025 - As Brazil, this year’s United Nations annual climate summit host, faces criticism for its continued interest in oil production, a leading development expert has come to the country’s defence. “Brazil has been portrayed by the media, activists and other…
- 21 Apr 2025 - South Sudanese government forces have retaken the town of Nasir which had been a flashpoint in a deepening political crisis, an army spokesman said on Sunday.
- 21 Apr 2025 - Former Prime Minister Raila Odinga has threatened to take legal action to contest the grabbing of 16 16-acre piece of land belonging to the Congo Mosque in Kwale County.
- 21 Apr 2025 - Crackdown on State critics: The new ties that bind EAC countries
- 21 Apr 2025 - Western Kenya's long quest for one political voice amid divisions
- 21 Apr 2025 - Pressure mounts to relocate hazardous Naivasha dumpsite
- 21 Apr 2025 - Puzzle of lost police guns, M-Pesa robberies and murders in Mumias
- 21 Apr 2025 - Budget 2025: Kenya targets growth, reality suggests economic headwinds
- 21 Apr 2025 - Mosquitoes in Nairobi are close to 100 per cent harmless, says expert