- 487 viewsRais Joe Biden Alhamisi aliwasihi Wamarekani kukubali matokeo ya uchaguzi wa rais wa Jumanne, ambapo Rais wa zamani Donald Trump alimshinda mrithi wa Biden, Makamu Rais Kamala Harris. Ameahidi kukabidhi madaraka kwa Trump, ambaye anachukua hatamu za uongozi, ambaye aliwashawishi wafuasi wake kuandamana hadi kwenye jengo la bunge wakati wajumbe walipokuwa wanarasimisha ushindi wa Biden 2020. Rais Joe Biden jana Alhamisi aliahidi kukifanya kipindi cha mpito cha mrithi wake Rais mteule Donald Trump kuwa na utaratibu mzuri. Pia ameomba umoja baada ya kushindwa kwa mgombea aliyempendelea, Makamu Rais Kamala Harris. Joe Biden, Rais wa Marekani: “Watu wamepiga kura na kuchagua viongozi wao, na walifanya hivyo kwa amani. Sisi tuko katika demokrasia, nia ya watu siku zote ndiyo inashinda.” Trump, katika hotuba yake ya ushindi siku moja kabla, pia alisisitiza umoja, wakati akielezea njia ya wazi miongoni mwa wapiga ambayo imempa yeye ushindi mzuri. #rais #donaldtrump #kamalaharris #wafuasi #voaelections #voaelections2024
Biden asema: '... Huwezi kuipenda nchi yako pale tu unaposhinda, ...'
- 21 Apr 2025 - Britain said on Sunday two of its fighter jets had intercepted Russian aircraft over the Baltic Sea close to NATO alliance airspace in separate incidents on Tuesday and Thursday.
- 21 Apr 2025 - As Brazil, this year’s United Nations annual climate summit host, faces criticism for its continued interest in oil production, a leading development expert has come to the country’s defence. “Brazil has been portrayed by the media, activists and other…
- 21 Apr 2025 - South Sudanese government forces have retaken the town of Nasir which had been a flashpoint in a deepening political crisis, an army spokesman said on Sunday.
- 21 Apr 2025 - Former Prime Minister Raila Odinga has threatened to take legal action to contest the grabbing of 16 16-acre piece of land belonging to the Congo Mosque in Kwale County.
- 21 Apr 2025 - Mosquitoes in Nairobi are close to 100 per cent harmless, says expert
- 21 Apr 2025 - The Ministry of Health (MoH) is urging more vigilance after three new cholera cases were confirmed, raising the number of cases to 125.
- 21 Apr 2025 - In a bid to re-affirm Nairobi's long-standing diplomatic and economic ties with Beijing, the week-long deliberations with his host President Xi Jinping will focus on Debt payment and financing for major infrastructure projects, which include the…
- 21 Apr 2025 - New study shows antibiotics resistance killed 3m children in 2022, seeks urgent action
- 21 Apr 2025 - Sifuna petitions Senate over cruel evictions, lack of compensation
- 21 Apr 2025 - Salasya's gambit to unite Luhya nation attracts praise and scorn